
Viungo wa timu ya soka ya magwiji wa Tanzania, Athumani China kushoto na Yussuf Macho kulia wakigombea mpira jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya magwiji wa Real Madrid ya Hispania Jumamosi Uwanja huo.

Watu wazima wakipasha leo Taifa. Jumamosi patapendeza Taifa

Mohamed Mwameja kushoto akifurahia mazoezi

Sabri Ramadhani 'China' akimiliki mpira mbele ya Yussuf Macho 'Musso'

Watu wazima wakionyeshana kazi katikati ya Uwanja

Wakubwa wameonyesha wako fiti na tayari kuwapa burudani Watanzania Jumamosi
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni