GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Ijumaa, 22 Agosti 2014

MAGWIJI WA TANZANIA MAZOEZINI LEO TAIFA KUWAKUSANYIA NGUVU REAL MADRID JUMAMOSI DAR

Viungo wa timu ya soka ya magwiji wa Tanzania, Athumani China kushoto na Yussuf Macho kulia wakigombea mpira jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya magwiji wa Real Madrid ya Hispania Jumamosi Uwanja huo.

Watu wazima wakipasha leo Taifa. Jumamosi patapendeza Taifa
Mohamed Mwameja kushoto akifurahia mazoezi
Sabri Ramadhani 'China' akimiliki mpira mbele ya Yussuf Macho 'Musso'
Watu wazima wakionyeshana kazi katikati ya Uwanja
Wakubwa wameonyesha wako fiti na tayari kuwapa burudani Watanzania Jumamosi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni