Huddah ni Mkenya ambaye alichukua headlines
na uzito wa jina lake ukaongezeka baada ya kwenda kushiriki kwenye
shindano la Big Brother Africa Afrika Kusini.
Baada ya hapo umaarufu wake uliongezeka na
maelfu ya watu wakaanza kumfatilia kwenye mitandao yake ya kijamii
ambako amekua akipost picha mbalimbali za matanuzi ambapo leo kwenye
Interview Part I aliyofanya na millardayo hapa chini anatugusia sehemu
ya maisha yake ambayo wengi walikua hawayajui.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni