GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Ijumaa, 12 Juni 2015

Beki wa Barcelona, kocha wake kwenye mkataba mpya

baca 
Baada ya Barcelona kutwaa mataji matatu ya La Liga, Copa de Rey na ligi ya mabingwa Ulaya sasa wamekuja na mikakati yao tayari kwa ajili ya msimu mpya.
Tayari Barcelona imesaini mkataba mwingine mpya na Kocha wake, Luis Enrique, ambao sasa utaisha mwaka 2017.


alv 
Kabla ya hapo, Barcelona ilimuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake Dani Alvez pia ikamsajili beki mpya Aleix Vidal ili kuisaidia timu hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni