GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Ijumaa, 12 Juni 2015

Kingine alichokisema Chris Brown kuhusu mapenzi yake na Karrueche

**NO UK** Hollywood, CA - Chris Brown at the El Capitan Theatre in Hollywood for an appearance on Jimmy Kimmel Live!  AKM-GSI     April  16, 2015 **NO UK**  To License These Photos, Please Contact : Steve Ginsburg (310) 505-8447 (323) 423-9397 steve@akmgsi.com sales@akmgsi.com or Maria Buda (917) 242-1505 mbuda@akmgsi.com ginsburgspalyinc@gmail.com 
Story kubwa nyingine ikachukua headlines, washkaji wa Chris Brown walipanga mchezo marafiki wa kuwakutanisha pamoja wakijifanya eti Karrueche alitaka kukutana na Chris Brown ili kumaliza tofauti zao na kuendelea na uhusiano.

 
                                                                  Karrueche Tran

Chris Brown akapata airtime ya interview iHeart Radio, moja ya maswali yaliyoulizwa ni kama anampenda Karrueche?
“Siwezi kuahidi chochote kwa sasa kwani sitaki kukurupuka, ndio bado nampenda sana siwezi kudanganya.. ila katika maisha inafika wakati inabidi tusimame tuangalie mapungufu.
“tusonge mbele na tutafute namna ya kutatua matatizo hayo… nakubali kuwa nilikosea na inabidi sasa nisimame kutazama nilipokosea kipindi cha nyuma …mimi ni baba sasa … kuhusu mimi na yeye, tuipe muda.”
Ameongelea pia kuhusu mtoto wake wa mwaka mmoja Royalty na maisha ya kuwa baba pamoja na magari na anayotembelea.
Msikilize Chris Brown kwenye Interview hiyo hapa mtu wangu.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni