Mapata
yatakayo patikana moja kwa moja yatafanya shughuli kusudiwa kwa kuanza
rasmi ujenzi wa kituo hicho huko Bagamoyo mjini Pwani.
“Tumeona klabu ya Yanga isipate sifa kwa kutwaa ubingwa tu, bali pia hata kufanya shughuli za kijamii kama hizi. Uongozi umebariki na hata Kocha Mkuu na benchi lote la ufundi lina taarifa na ndio maana tumeanza mazoezi mapema zaidi,tutashusha kikosi chetu cha kwanza chenye wachezaji wapya na wa zamani” alisema katibu mkuu Jonas Tiboroha.
“Tumeona klabu ya Yanga isipate sifa kwa kutwaa ubingwa tu, bali pia hata kufanya shughuli za kijamii kama hizi. Uongozi umebariki na hata Kocha Mkuu na benchi lote la ufundi lina taarifa na ndio maana tumeanza mazoezi mapema zaidi,tutashusha kikosi chetu cha kwanza chenye wachezaji wapya na wa zamani” alisema katibu mkuu Jonas Tiboroha.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni