GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatatu, 22 Juni 2015

Davido Achezea Akili za Watanzania.kwa Kuwatubeep Kwa Bendera..Ugomvi wa WEMA SEPETU na Diamond Platnumz ni Faida Kwake TUZO za MTV 2015


 Ukitaka kujua kuna watu hawana kazi ya kufanya utaangalia tofauti ya comment za kwenye post ya Davido kwenye instagram. Kawaida huwa anapata comment 100 hadi 200. Lakini post hii ambayo aliyoweka picha ya bendera ya Tanzania imepata zaidi ya comment 2600 ndani ya masaa 4.

Ukiangalia comment zimejaa za wa Tanzania waki-comment ujinga kumpa support na wachache wakiongea vitu vya msingi. Hapa ni hivi, kuna kundi la watu wanaongoza kampeni za kumpigia kura Davido kwenye vipengele vya MTV Awards ambapo Davido yupo na Diamond...Kisa cha Watu kumpigia Kura Davido Kinatokana na Ugomvi wa Diamond na Wema Sepetu Ambao walikuwa ni Wapenzi zamani...Wema Sepetu na Team yake ndio vinara wa kuwashawishi watu wampigie kura Davido Badala ya Diamond..

Sasa inavyoonekana Davido alipata hizo taarifa na kutumia advantage kwa ku-post bendera ya Tanzania na kuweka alama ya love. Basi kawateka wote wasio na kazi wanaanza kupoteza muda wao. Wengine wanasema Davido ka-show love tu kwa Tanzania. Anaanzaje kutoa love bila sababu ya msingi.

Ishu za kitaifa tuache team zisizokuwa na msingi na tutumie bundle zetu vizuri kama sio kujifunza mambo ya msingi basi kuwa support ndugu zetu wanaotuwakilisha sio strangers. Hizi ni baadhi ya comments na nyingine ni nzuri ila nyingine utashangaa kama kweli hawa ni watanzania au wahamiaji tu.


 

 



 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni