GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Alhamisi, 18 Juni 2015

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua 
Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa  wa bongo  movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga  kurudi kwa kishindo  kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.
Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua  mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu  maswala ya wazazi  ili kueleimisha  wanawake  wenye tabia ya kutupu watoto  wachanga mara baada ya kujifungua.
Aidha amesema  huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha kukataa kuhusika katika malezi ya mtoto aliyezaliwa.
Hivyo, alisema anajipanga kutoa  elimu kuwa  uzazi  ni wakuheshimiwa na hususan kwa wanaume.
Aunt yupo katika maandalizi  ya filamu hiyo ambayo atawashirikisha  wasanii wakubwa na chipukizi alisema

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni