June 15 2015 ilitufikia taarifa ya msiba wa aliyekuwa Mufti Mkuu Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba.
Jana June 16 watu mbalimbali pamoja na
viongozi wamekutana Shinyanga kumsindikiza Mufti huyo katika safari yake
ya mwisho ambapo mazishi yamefanyika huko.
Haya ndio matukio niliyoyapata wakati wa mazishi hayo.
Mawaziri Wakuu Wastaafu, Edward Lowassa na Fredrick Sumaye wakiwa msibani.
Rais Jakaya Kikwete
Mbunge Edward Lowassa
Waziri Bernard Membe
Rais JK akiongea na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salum.
Mbunge William Ngeleja.
#RIP Sheikh Issa Bin Shaaban Simba
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni