GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Ijumaa, 19 Juni 2015

P Diddy na Pharell Williams washirikiana kukuletea movie hii mpya “DOPE!”

DOPE_OFFICIAL_POSTER1 

CEO wa Bad Boy Entertainment na business mogul Sean “Diddy” Combs maarufu kama P Diddy ni music legend, business mastermind na fashion designer. Licha ya mafanikio haya  P Diddy pia anamiliki kituo chake cha Tv kiitwacho REVOLT kinacho weka headlines kubwa kama moja ya vituo vya Tv venye ushawishi mkubwa katika entertainmnet industry Marekani.
P Diddy hajaishia hapo, safari hii anakuja kivingine, na kupitia kituo chake cha Tv cha REVOLT na ushirikiano wa Pharell Williams msanii mwenye hitsong ya “Happy”, P Diddy yupo tayari kudondosha movie yake mpya iitwayo DOPE ambayo ndani yake yupo mwanae Quincy Brown  na wasanii wa HipHop ASAP Rocky pamoja na Tyga.

Producers na directors wakubwa kwenye movie hii ni Pharell Williams, P Diddy na Forest Whitaker, na movie hii inaanza kuonyeshwa rasmi katika cinemas za Marekani leo.
Hapa nimekusogezea vipande vya trailer ya movie hio, unaweza kuzitazama hapa chini mtu wangu. 



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni