GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Ijumaa, 12 Juni 2015

Flaviana Matata na gauni la harusi, kuna ndoa inakuja? Hanscana kamtaja Director anaemkubali !!

Asian business man write words on wall, Follow Up 
Mrembo wa TZ ambae yuko kwenye Industry ya modeling ameonekana kwenye Magazine ya New African Woman ambayo jamaa wanaoiandaa wako Uingereza, mrembo wetu kasema toleo ambalo yeye ameonekana lina pichaz zake pamoja na Interview inayohusu maisha yake kwa ujumla.

Flaviana Matata 
                                                Model wa TZ, Flaviana Matata.
Flaviana amesema waandaaji wa Magazine hiyo huwa wanafanya matoleo makubwa mawili, moja ni kwa ajili ya Ulaya na jingine kwa ajili ya Nchi za Kusini mwa Afrika ambalo ndio yeye ametokea pia.
 
NAW31_CoverFlaviannaColor-6 

 Kuna post aliweka Flaviana akiwa amevaa gauni la harusi, hiyo ni moja ya kazi zake za mitindo lakini pia ni mwanzo tu wa kujaribu tu jinsi ambavyo atatokelezea siku ya harusi yake.
Hanscana alitajwa na Adam Juma kwamba ni director ambae amefanya video kali zinazomvutia.. Hanscana amesema imempa moyo kuona mkali kama Adam anazikubali kazi zake.


Hanscana 
                                                                     Director Hanscana.
Jamaa kasema jicho lake bado linaikubali video ya ‘Mmmh’ ya C Pwaa. ambayo ilifanywa na Director Adam Juma.. Kwa upande wa list ya Directors anaowakubali sana wa kwanza ni Khalfan.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni