GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatano, 17 Juni 2015

BOBBI KRISTINA KUREJESHWA NYUMBANI

 
Mtoto wa aliyekuwa mwimbaji mwenye sauti ya mvuto, Marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina.
Georgia, Marekani
MTOTO wa aliyekuwa mwimbaji mwenye sauti ya mvuto, Marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina ambaye ni mgonjwa amepangwa kurejeshwa nyumbani huku hali yake ikiwa bado haijatengamaa.
                                  Bobbi Kristina akiwa na babaa'ke, Bobby Brown.
 
Kristina, 22, ambaye kwa sasa analelewa na Bobby Brown, yupo hospitali kwa miezi mitano sasa baada ya kukutwa ameanguka bafuni huku akishindwa kupumua Januari 31, mwaka huu, huko Roswell, Georgia na kulazwa mpaka hivi sasa.
Kwa mujibu wa chanzo kilisema kuwa wamepanga kumrudisha nyumbani lakini baba yake amekataa akitaka aendelee kutibiwa hospitali.Mama yake Bobbi alikutwa amefariki dunia bafuni katika hoteli huko Los Angeles, Februari 2012, akiwa na umri wa miaka 48

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni