GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Alhamisi, 15 Januari 2015

Mpango mwingine waliokuja nao THT 2015 ni huu..

6THT

Imezoeleka Tanzania House of Tallent (THT) imekua ikitoa wasanii peke yake ambao asilimia kubwa ya wasanii wengi wa Bongo Fleva wamepitia kwenye mikono ya Nyumba ya Vipaji.
Mwaka 2015 THT imetimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake ambapo katika mkakati wake mpya ni kuja kiutofauti na ilivyozoeleka hasa kisanaa.

Wanafunzi ambao wa mwisho kwa mwaka huu ni hawa wanaohitimu sasa ambao January 31 watajumuika na wasanii wengine kwenye sherehe za THT zitakazofanyika Escape One, Mikocheni.
Mpango ambao THT wamekuja nao ni kwenye upande wa mitindo (Fashion) ambao wameanza na Kitenge ambacho kitakuwa na mtindo tofauti na uliozoeleka.

8THT

7THT

6THT

5THT

4THT

3THT

2THT

Ditto, Ally Rehmtullah na Peter Msechu

9THT

1THT

Mwanamitindo Ally Rehmtullah na Peter Msechu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni