GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatatu, 15 Desemba 2014

PICHA ZA GARI LA SH. MILIONI 805 LINALOMILIKIWA NA MTOTO WA BAKHRESA AMBALO LIMEKUJA KWA ODA MAALUM..!!


Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000 sawa na shiingi milioni 805 za kibongo.

 
Hii hapa mali ya Yussuf Bakhresa

Huyu jamaa ndiye anayeendesha gari hili la mtoto wa Bakhresa

Angalia alivyotulia ndani ya mzigo wa dola 500,000

 Ni oda maalum kwa ajili ya Yussuf Bakhresa 

Mwingine mwenye gari kama hii Dar es Salaam nani?  
Kutoka Manchester hadi Dar es Salaam


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni