Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ameshawasili 256 Uganda kumpa support Zari Hassan a.k.a Zari The Bosslady kwenye event yake ‘All White CIROC Party’ itakayofanyika Des 18Kampala.
Diamond akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kuwasili Uganda .
Diamond Platnumz akiwa na Zari baada ya kumaliza mahojiano na waandishi.
Zari na Diamond wakihojiwa na mwaandishi kutoka NTV.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni