GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Alhamisi, 18 Desemba 2014

Baada ya Wolper sasa ni zamu ya staa huyu mwingine kuchora tatoo mkononi

.

Wiki kadhaa zimepita tangu staa wa kike wa Bongo movie, Jacqueline Wolper aamue kujichora tatoo mpya kwenye mkono wake good news ni kwamba kuna staa mwingine wa Bongo fleva ameingia kwenye headline baada ya kuchora tatoo.
Hitmaker wa single ya Kizunguzungu,Rachel kupitia instagram ameweka video yenye sekunde 15 ambazo zikimuonesha akichorwa tatoo mpya mkono huko London ambako alienda kwaajili ya show yake.
Itazame hapa
Follow
"Tattoo in the making".. @Nirvana Tattoo in Reading.. #Tattoo #Reading #U.k @bongodeejays

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni