GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatatu, 1 Septemba 2014

TAMASHA LA FIESTA 2014 LILIVYOSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA MJI WA MOSHI MWISHONI MWA WIKI


Msanii Mkongwe wa muziki wa Hip hop nchin Farid Kubanda a.k.a FQ pichani shoto wakilishambulia jukwaa na msanii mwenzake Stamina jukwaani huku wakiwa na shabiki wao,juu ya jukwaa la tamasha la Fiesta 2014 lilofanyika katika viwanja vya Majengo mjini Moshi.
Msanii wa Bongofleva pichani kulia wakimuimbisha shabiki wao jukwaani,kushoto ni Fid Q
Mashabikii wakishangilia jambo wakati wasanii mbalimbali wa tamasha la Fiesta 2014 wakiendelea kutumbuiza jukwaani.

Mwanadada Feza Kessy akiimba jukwaani wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyka mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Majengo mjini Moshi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni