GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 27 Septemba 2014

Mwendesha Bodaboda ambaka msichana katika Kaunti ya Kisumu


Msichana wa miaka kumi anauguza uchungu na majeraha na maambukizi ya ugonjwa usioleleweka kutokanana na kubakwa na barobaro anayeaminika kuwa mwendeshaji boda-boda mtaa wa manyata huko kisumu. Taarifa zinatuarifu kuwa pia polisi hadi sasa wameshindwa kumtia mbaroni mshukiwa huyo licha ya kuwa na taarifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni