GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumapili, 3 Agosti 2014

Ebola inaweza kuwa janga baya

Mgonjwa wa Ebola amebwa
Mkurugenzi wa shirika la afya la duniani Margeret Chan anasema kuwa kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika kunaweza kusababisha janga bay iwapo hautaziwa.
Akizungumuza mjini Conakry baada ya kukutana na marais wa Guinea, Liberia na Sierra Leone amesema ugunjwa huo unasambaa kwa kasi ikilinganishwa na juhudi za kuudhibiti, lakini akaongeza ya kuwa  unaweza kusitishwa kutokana na usaidizi wa kimataifaa.

Marekani  imesema kuwa raia wawili wa taifa hilo wa kutoa msaada  wanaugua uogonjwa wa Ebola watasafirishwa  hadi nchini Marekani mapema wiki ijao ilikupewa  matibabu katika eneo liliotengwa.
Kisa hicho cha ugonjwa huo kitakuwa cha kwanza kutibiwa Marekani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni