GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumanne, 29 Julai 2014

Fuse ODG karudi tena na hii, kafanya na Sean Paul. (new video)


Nana Richard Abiona maarufu kama FUSE ODG ambae ni Muingereza mwenye asili ya 
Ghana, ni staa mwingine ambae ana rekodi zake kwenye list ya mziki mkali wa Afrika 2013/2014.
Baada ya kufanya muziki na mastaa wa dunia kama Wyclef Jean kwenye ‘Antenna‘ ambayo ilishika mpaka nafasi ya 7 kwenye chart za muziki UK na ‘Azonto‘ iliyochukua mpaka namba 30 kwenye chart hizo za UK.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni