MSAADA WA KUMSAIDIA BI MWANAIDI VUAI SALEH ALIYEUNGUA KWA MAJI YA MOTO
anavyoonekanav pichani akiwa katika hospitali ya Jeshi Bububu Unguja akiendelea na Matibabu yake akisubiri misaada ya Wasamaria wema ili kupata kusafirishwa nje ya nchi kupata matibabu zaidi ili kurudisha hali yake kiafya.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni