GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 31 Mei 2014

Ajinyonga baada ya kudaiwa fedha ya matumizi na mkewe

Kamanda wa Poliosi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda

WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti, akiwemo mkazi wa kijiji cha Kasitu wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa, Nestory Kamchape (48) amejiua kwa kujinyonga baada ya kudaiwa fedha za matumizi na mkewe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni