Ajinyonga baada ya kudaiwa fedha ya matumizi na mkewe
WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti, akiwemo mkazi wa kijiji cha Kasitu wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa, Nestory Kamchape (48) amejiua kwa kujinyonga baada ya kudaiwa fedha za matumizi na mkewe.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni