GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatatu, 22 Juni 2015

TAZAMA JINSI WASICHANA WA KITANZANIA NA WAAFRIKA,WANAVYOSAFIRISHWA NA KUFANYISHWA BISHARA YA UKAHABA ULAYA!

 
Mapema sana katika hii blog tuliandika kuwa namna gani wasichana wa kiafrika wanavyojiuza katika nchi za uarabuni na wengi wenu bado mna mashaka kuwa ni kweli au la.Kwa hiyo nimeamua kushea nanyi hii habari
ambayo imefanyiwa uchunguzi makini sana na kituo cha habari cha Al-Jazeera
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni