GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Ijumaa, 29 Agosti 2014

Emmanuel Okwi arudi Simba.

Okwi-Emma
Emmanel Okwi ameamua kurejea katika timu yake ya zamani ya Simba Sports Club,Emanuel Okwi ambaye ni raia wa Uganda rasmi leo amesaini kujiunga na Simba baada ya kuelewana na uongozi wa klabu hiyo.
Emanuel Okwi amechukua maamuzi ya kusaini kucheza timu ya Simba baada ya Yanga kumuacha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni