GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatano, 27 Agosti 2014

Angel Di Maria ni mchezaji mpya wa Man United na kaivunja hii rekodi

IMG_6749.JPG
Ishu ya usajili wa mchezaji wa kiargentina Angel Di Maria kwenda klabu ya Manchester United kutokea Real Madrid imemalizika rasmi usiku wa August 26 2014 baada ya Manchester United kuthibitisha kukamilisha usajili huo kwa ada ya uhamisho £59.7m.
Hii ada ya uhamisho imeweka rekodi mpya ya uhamisho nchini Uingereza ikivunja rekodi ya £50m ambayo Chelsea waliilipa Liverpool kwa ajili ya usajili wa Fernando Torres.
Di Maria amekabidhiwa jezi namba 7 na amesaini mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia Manchester United.
IMG_6752.JPG

IMG_6750.JPG

IMG_6751.JPG

IMG_6748.PNG

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni