GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 17 Januari 2015

Kutokana na hofu ya Ebola, Guinea imeweka utaratibu huu kwenye michanuo ya AFCON 2015

afcon-2015-606edc-h900

Chama cha Soka Afrika CAF  kimetangaza kuwepo utaratibu wa kufanya vipimo vya ugonjwa wa Ebola katika Michuano ya Mataifa ya Afrika, AFCON  inayotarajiwa kuanza Jan 17 ambayo ni siku ya kesho.
Vipimo hivyo  vitakuwa vikifanyika kwa wachezaji,  viongozi na Mashabiki wote watakaowasili katika nchi ya Guinea ambayo michuano hiyo inafanyika
Taarifa kutoka Guinea ni kwamba tayari Cape Verde imekuwa timu ya kwanza kuwasili nchini humo na walioongozana na timu hiyo tayari wameshafanyiwa uchunguzi huo.

Iko hapa story yote ambayo nimekurekodia kutoka WBS TV ya Uganda hapa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni