GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Alhamisi, 18 Desemba 2014

Kenya ya vioja… Pale ambapo wanawake wanaojiuza wanahitaji kutambuliwa na Serikali(Video & story)

DSC07254

Kundi la wanawake wanaofanya biashara ya kujiuza nchini Kenya limefanya maandamano kuadhimisha siku ya makahaba duniani jana December 17, lengo lake ni kukomesha dhuluma dhidi yao.
Wanawake hao waliandamana ofisi ya Jaji Mkuu Willy Mutunga wakitaka Serikali kuwapa nafasi ya kuwatambua rasmi na wawe walipa kodi halali kama ilivyo kwa wafanyabishara wengine.

DSC07242

Waandamanaji hao wameishutumu Serikali kwa kuruhusu ukiukwaji wa haki zao za kibinadamu kwa kutokana na kesi ambazo huwa zinawahusu kutochukuliwa hatua za kisheria.

Nilikurekodia sauti na video wakati habari hiyo ikiripotiwa na kituo cha K24, unaweza kubonyeza play kuisikiliza.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni