GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 20 Desemba 2014

DIAMOND,ZARI KUFUNIKA JANA KATIKA ALL WHITE CIROCPARTY UGANDA>>>JIONEE HAPA

Diamond Platnumz na Team yake wakipata chakula cha usiku na Zari


Diamond amefika Uganda na kupokelewa na timu ya Zari kwaajili ya party yake ya #ZariAllWhiteCirocParty inayofanyika @guvnoruganda tarehe 18 December 2014. Hizi picha za chakula cha usiku wakiwa na mwenyeji wao Zari



Akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda.

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady'
akiwekwa sawa kimuonekano kabla kuelekea kwenye shooo.


Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.

Embedded image permalink

The Boss Lady akiwa katika pozi.
                                                           Diamond Platnumz
http://photos-a.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/t51.2885-15/10838797_406038599552392_1171656817_n.jpg

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni