GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Alhamisi, 25 Septemba 2014

nick cannon akanusha kuvunja ndoa ya Wiz Khalifa & Amber Rose

 photo nickamberrumor_zps2f8cf180.jpg
Nick Cannon amekanusha kuvunja ndoa ya Wiz na Amber Rose. Habari zimeenea kwamba Nick Cannon ndio chanzo cha kuvunjika kwa ndoa hiyo. Amber Rose amefaili divorce, akiomba amepewe jukumu la kumlea mtoto wao Sebastian. Hivi karibuni Nick  Cannon amemsaini Amber kwenye kampuni yake ya  NCredible Entertainment.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni