GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 9 Agosti 2014

Picha 5 za ajali ya kuungua kwa basi la 5 Aliance leo August 09.


Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua asubuhi ya August 09 likitokea Mtwara kuelekea Dar es salaam.
Taarifa ya awali inasema kuwa hakuna abiria aliyepata madhara yoyote juu ya kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea kijiji cha Mihambwe mkoa wa Lindi.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni