GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 16 Agosti 2014

MAZOEZI YA WAREMBO WA SHINDANO LA MISS TEMEKE YAPAMBA MOTO

 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd's Miss Temeke, wakipozi wakati wa mazoezi  katika Klabu ya TCC, Chang'ombe, Dar es Salaam. Mashindano yatafanyika kwenye klabu hiyo, Agosti 22,mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni