Onyo hilo linakuja siku moja baada ya Shirika la Afya Duniani WHO kusema kuwa kiwango cha janga hilo kilikadiliwa chini zaidi kuliko hali ilivyo na kwamba hatua zaidi ya kawaida zinahitajika kuzuia ugonjwa huo unaoua kwa kasi.
Takwimu mpya zilizotolewa na shirika la duniani WHO zinaonesha kuwa vifo vilivyotokana na ugonjwa wa Ebola kwa sasa imeongezeka na kufikia watu 1145 katika mataifa manne ya Afrika Magharibi ambayo ni Guinea, Liberia, Nigeria na Sierra Leone.
-RFI
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni