GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Alhamisi, 14 Agosti 2014

JAGUAR ANATISHA- AFANYA HOUSE SHOPPING SOUTH

Msanii maarufu na mwenye pesa ndefu inchini Kenya, Jaguar anatafuta nyumba ya kununua South yenye thamani ya shilingi milioni 100 za Kenya. Ataitumia nyumba hiyo kama studio. Jaguar ataweza kufanya kazi na maproducer wa nguvu ndani ya South Africa. Cheki picha zake akifanya house shopping kwa Madiba.
Jaguar Goes House Shopping In South Africa For A House Worth 100 Million Shillings

http://photos-f.ak.instagram.com/hphotos-ak-xfa1/917191_688385347906909_1365176689_n.jpg

http://photos-c.ak.instagram.com/hphotos-ak-xpf1/10544275_701392679915242_113123460_n.jpg

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni