GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumapili, 10 Agosti 2014

HIVI KWA NINI WASANII WENGI WA BONGO NI WAFUPI???? HAWA NI BAADHI YAO.

Nimefanya uchunguzi mdogo tu nimegundua kuwa wasanii wengi wa music Tanzania ni wafupi, sijui kwanini? Au kuna uhusiano wowote ule kati ya ufupi na kipaji? Au ndio ile theory ya kwamba watu wafupi wanapenda sana kujionyesha kwakuwa wanahisi wanadharaulika? 

Wafuatao ni baadhi tu kati ya wale wengi: 
1. Barnaba Boy
2. Stamina
3. Linnah
4. Sheta
5. Rich Mavoko
6. Nikki wa Pili
7. T.I.D
8. Ommy Dimpoz
9. Dully Sykes 
10. Ally Kiba 
11. Young Dee
12. Vanesa Mdee

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni