GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumamosi, 9 Agosti 2014

CCM yawalalamikia Jaji Warioba na wajumbe wa tume yake kuhusu kauli zao kwa Rais Kikwete

Chama cha Mapinduzi -CCM kimedai kuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Jaji Joseph  Warioba na baadhi ya wajumbe wa tume yake wamemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa chama hicho rais  Jakaya  Kikwete

Hatua hiyo imefikiwa kutokana na Mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya mwalimu Nyerere ambao umefanyika Jumatatu wiki hii na kwamba kupitia mdahalo huo Jaji Warioba na wajumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba  waliitupia lawama CCM na mwenyekiti wake kwamba  hoja zake ni nyepesi, dhaifu na za kutunga.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya taifa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amesema Jaji Warioba na tume yake wameugeuza mchakato wa katiba kama mradi wao binafsi hali inayosababisha wasikubaliane na mtu yeyote anayetaka kutofautiana nao kimawaz

                                                       Jaji Warioba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni