Aliko Dangote ATOA MSAADA WA $150 millions KUPAMBANA NA EBOLA
Tajiri wa kwanza Africa, Aliko Dangote ambaye ni mnigeria ameisaidia serikali ya Nigeria $150 millions kupambana na ugonjwa wa Ebola. Wanigeria watatu wameshapoteza maisha kutokana na gonjwa hili hatari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni