GENN MEDIA

KANSAS COLLEGE OF NURSING

Jumatatu, 2 Juni 2014

MGOMO BARIDI WA USAFIRI DAR ES SALAAM BAADA YA DALADALA KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE





Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.


                                 Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni